June 2016 Rais John Pombe Magufuli alitangaza kuwa ni lazima Serikali yake yote kuhamia Dodoma huku akiagiza Wizara zote hadi kufikia February 28 2017 awamu yote ya kwanza iwe tayari imehamia Dodoma, Leo February 27 2017 Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa A.Mashariki Dkt. Augustine Mahiga ameongea na Waandishi wa habari baada ya kutekeleza agizo hilo.
Full video ya Waziri Mahiga nimekuwekea hapa chini alipokuwa akielezea…
VIDEO: Serikali imetaja makosa matatu yaliyofanywa na Watanzania wanaofukuzwa Msumbiji
EmoticonEmoticon