Bado ishu ya Watanzania kuondolewa kwenye nchi jirani ya Msumbiji ipo kwenye headlines ambapo leo February 27 2017 Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Augustine Mahiga amezungumza Dodoma.
Waziri Mahiga ametaja baadhi ya sababu zilizopelekea Watanzania hao kufukuzwa na hapa ninamnukuu >>> “Watanzania walioondolewa Msumbiji wengi wao walikwenda kwa njia ambazo hata kwa Tanzania sio halali”
Kupata kila akichosema unaweza kubonyeza play kwenye hii video hapa chini kujionea
EmoticonEmoticon