Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amepita kwenye OnAIR with Millard Ayona kuongelea ishu mbalimbali ikiwemo simu aliyopigiwa na Baba yake ambaye ni Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete baada ya kuona ile picha aliyopiga na Edward Lowassa uwanja wa taifa Dar es salaam kwenye mechi ya Yanga vs Simba.
Ikiwa hii ni Part 1, pamoja na hiyo picha na Edward Lowassa ambayo imetawala mitandaoni weekend hii iliyoisha,Ridhiwani ameongelea ishu mbalimbali za Chalinze na game ya Yanga vs Simba iliyomalizika juzi kwa ushindi wa 1-2,tazama kila kitu kwenye hii video hapa chini
EmoticonEmoticon