Friday, February 24, 2017

VIDEO: Polisi DSM yaongea, Sirro ajibu ya Freeman Mbowe na Steve Nyerere

Tags


Marko maluli
Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam Simon Sirro leo February 24  2017 amekutana na waandishi wa habari na kutoa taarifa kuhusu ukamataji wa Watuhumiwa wa dawa za kulevya, utumiaji na usambaji wa dawa za hizo ambapo amesema watuhumiwa 257 wamekamatwa kuanzia February 16 2017 mpaka February 23 2017.
Pamoja na hayo Kamanda Sirro amejibu maswali ya waandishi likiwamo kuhusu kumshikilia Mchekeshaji Steve Nyerere ambapo amesema……>>> kama ameitwa atakuwa ameitwa na wapelelezi sijapata habari zake, kwa kuwa kuna timu inashughulika na mambo haya
Hii video hapa chini ina kila kitu alichosema Simon Sirro leo, bonyeza play tu kumtazama


EmoticonEmoticon

Kichuyaaaaaaa: Tanzania 2 v DRC 0