Marko maluli
Waziri wa ardhi William Lukuvi ameita Waandishi wa habari Dar es salaam February 27 2017 na kuongelea ishu ya Kiwanja alichopewa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda juzi na Mfanyabiashara mmoja ili akigawe bure kwa Wananchi kwa ajili ya kutengeneza Viwanda vidogovidogo.
Kila kitu pamoja na ishu nyingine ya Wizara ya ardhi kuhamia Dodoma utakutana nacho kwenye hii video hapa chini akiongea mwenyewe WaziriWilliam Lukuvi.
EmoticonEmoticon