Thursday, February 23, 2017

Ushauri wa waziri Nape kwa mashabiki wasio na uvumilivu Simba vs Yanga Feb 25 2017

Tags

Marko maluli


February 23 2017 wakati wa uzinduzi wa mfuko wa kuchangia Serengeti Boyswaziri wa habari, sanaa, utamaduni na michezo Nape Moses Nnauyeamezungumzia kuhusu mashabiki wataokwenda kutazama mechi yaSimba na Yanga Jumamosi February 25 2017 uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Waziri Nape amewashauri tu mashabiki ambao hawawezi kuwa na uvumilivu pale matokeo ya mechi yanapokuwa mabaya kwa upande wao “Jumamosi kuna mechi ya Simba na Yanga mtakumbuka mechi iliyopita kulikuwa na matatizo lakini nawaomba watanzania tuweke ustaarabu na uzalendo wetu mbele”
“Kama ukikasirika kunywa maji au nenda nyumbani tunaomba tusiharibu miundombinu ya uwanja, Simba wanajua gharama waliyotumia kukarabati uwanja ule, ukiona huna moyo wa kukaa uwanjani basi kaa nyumbani kwako angalia katika TV ukikasirika vunja TV yako”
FULL HD: All goals N’gaya vs Yanga February 12 2017, Full Time 1-5


EmoticonEmoticon

Kichuyaaaaaaa: Tanzania 2 v DRC 0