Manispaa ya Dodoma mjini mnaombwa muitengeneze Barabara hii ya Bukoba Street iliyopo Maeneo ya Uhindini..
Kiukweli barabara hii ni muhimu sana kwanza ni barabara inayo unganisha Nyerere Square na pia ndio njia kuu inayotumiwa na wapita kwa minguu.
Wikii hii yote Muungwana Blog imepokea malalamiko juu ya Barabara hiyo..
Wafanya Biashara na wakazi wa mtaa huo wanalalamika juu ya uchakavu wa Barabara hiyo ambayo ndio kiunganishi cha Nyerere Square na Sido.
Mnaombwa muirekebishe na kuiweka lami kama mitaa mingine ya hapo Uhindini.
EmoticonEmoticon