![](https://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2017/03/Twaweza-colour-logo.jpg?resize=620%2C383)
Mwishoni mwa mwezi Januari 2017, Waziri wa Chakula, Mifugo na Uvuvi, Dk. Charles Tizeba aliliambia bunge kwamba utafiti uliofanywa na Wizara kwa kushirikiana na wadau kadhaa, umegundua kwamba Wilaya 55 (kati 169 za Tanzania Bara na Visiwani) zilikumbwa na njaa.
Taarifa yake ilieleza kuwa tani 35,491 za nafaka zinahitajika kusambazwa kati ya mwezi wa pili na wa nne mwaka 2017 ili kukabiliana na upungufu huo uliowakumba watu 1,186,028”2 katika Wilaya hizo.
Leo March 1, 2017 Ripoti mpya ya taasisi ya utafiti ya Twaweza imetoa matokeo ya utafiti wake uliofanywa nchini ili kubaini ukweli wa suala la upungufu wa chakula.
Nimekuwekea hapa mambo nane yaliyobainika kwenye utafiti waTWAWEZA.
EmoticonEmoticon