Friday, March 24, 2017

Agizo la Waziri Nchemba kwa aliyemtishia Bastola Nape Nnauye

Tags

Marko maluli

Kitendo cha mtu kumtolea Bastola, Sio cha kiaskari, sio cha kitanzania na sio cha ki Mungu, kama mtu ameweza kutoa Bastola mbele ya Kamera nawaza mbali ingekuwa kwenye uchochoro angefanya nini‘ –Mwigulu Nchemba
Nahusika na Usalama wa Raia wote wa Tanzania, nimemwelekeza IGP atumie picha kumsaka mtu yule aliyeinua kufanya kitu cha kihalifu kwa kofia ya uaskari. Na kama ni Askari basi sheria zinazoongoza taasisi husika zichukue mkondo wake‘ –Mwigulu Nchemba
FULL VIDEO: Nape alivyozuiwa na Polisi “alietoa Bastola aje hapa’ 


EmoticonEmoticon

Kichuyaaaaaaa: Tanzania 2 v DRC 0